March 15, 2014

Yule mtoto wa kiume aliyezaliwa gesti huku mama yake  Bi.Mwanaidi Athumani akifanya ngono na mume mwingine amefariki dunia jana.

Baada ya kupokea taarifa hizo Mwandishi wa habari hizi alifika hospital  ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro na kuzungumza na daktari mmoja ambaye alithibitisha mtoto huyo aliyekaa tumboni kwa mama yake kwa miezi 7 amefariki dunia.
 Vile vile Mwandishi wetu alifanya juhudi za kina na kufanikiwa kumpata mume wa mwanamke huyo ambaye pia alithibitisha kichanga hicho kufariki dunia.

Paparazi wetu pia alifanikiwa kufanya mahojiano maarumu juu ya tukio hilo na baba huyo wa familia hiyo  ambapo pamoja na kuchukuha hatu kali zidi ya mkewe huyo pia amefunguka na kusema mambo mengi, nini amesema endelea kufuatilia magazeti ya Global Publisher pamoja na Mtandao huu
 
 NA DUSTAN SHEKIDELE,MOROGORO.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE