March 06, 2014

okwi_6 
KLABU ya Etoile du Sahel ya Tunisia imewasilisha barua ya kurasa tatu Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ikimtaka mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi awalipe Dola 1.3 milioni za Kimarekani ambazo ni zaidi ya Sh 2 bilioni za Tanzania kama fidia.
Zaidi ingia: www.millardayo.com

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE