Akizungumza na 255 ya Clouds Fm Shilole ameelezea kwa kuwa ana taaluma ya Hotel Management ameeleza kuwa mama yake alishawahi kuwa ‘mama ntilie’ kipindi cha nyuma,Shilole ameshawahi kufanya kazi sehemu kadhaa kama Peacock Hotel na Florida kwa sasa kila kitu kinaenda sawa muda wowote kutoka sasa anategemea kufungua.
Bonyeza play kumsikiliza Shilole akielezea mgahawa huo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment