March 17, 2014

Bonge la harusi inayosubiriwa kwa Hamu kati ya Kanye West na Mchumba wake wa Muda Mrefu Kim Kardashian itakayofanyika Mwezi wa Tano Imeanza kuwa Gumzo Baada ya Taarifa kuzagaa kuwa waalikwa hawataruhusiwa kuingia na Simu za mkononi wala kamera ya aina yoyote , kuepusha watu kupiga picha ama video na kuzipeleka mtandaoni kama ilivyokuwa Engagment party yao ambapo mtu mmoja alichukua video na kuipost Youtube bila ruhusa yao...Taarifa mpya zimekuja na kusema kuwa Jay z na Beyonce pekee ndio watakao ruhusiwa kuingia na Simu zao za Mkononi...
By John K

Related Posts:

  • ALICHOKIANDIKA WAKILI ABERT MSANDO KUHUSU MSIBA WA ZITTO KABWE   Msando Alberto 7 hrs · Sandown, South Africa · To my brother and friend Zitto Kabwe, I cannot imagine the pain you are going through. All I can say is pole sana for Mama's loss. I pray so that Allah give… Read More
  • RAY C ALITAMANI PENZI LA KIKONGWE MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60. Akizungumza kat… Read More
  • Mtoto wa Pele afungwa jela miaka 33 Brazil 23 seconds ago Gwiji wa soka Pele akionekana mwenye huzuni. Akiwa na umri wa miaka 43, mchezaji mpira mstaafu, atatumikia kifungo kwa kosa la kujipatia p… Read More
  • MAJAMBAZI YAUA ARUSHA Mwananchi mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi eneo na Clock Tower jijini Arusha. Majambazi hao walikuwa wakipora kwenye Bureau De Change iitwayo Nothern ambapo mareh… Read More
  • MAMA YAKE ZITTO KUZIKWA KIGOMA KESHO    Mzee Stephen Wassira akimpa Zitto pole na faraja katika msikiti wa Maamur.Picha kwa hisani ya Khalfan Said. Maiti ya Bi Shida Salum, mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe, imesaf… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE