Bonge la harusi inayosubiriwa kwa Hamu
kati ya Kanye West na Mchumba wake wa Muda Mrefu Kim Kardashian
itakayofanyika Mwezi wa Tano Imeanza kuwa Gumzo Baada ya Taarifa kuzagaa
kuwa waalikwa hawataruhusiwa kuingia na Simu za mkononi wala kamera ya
aina yoyote , kuepusha watu kupiga picha ama video na kuzipeleka
mtandaoni kama ilivyokuwa Engagment party yao ambapo mtu mmoja alichukua
video na kuipost Youtube bila ruhusa yao...Taarifa mpya zimekuja na
kusema kuwa Jay z na Beyonce pekee ndio watakao ruhusiwa kuingia na Simu
zao za Mkononi... By John K
Diamomd Platnumz aingiza bidhaa mpya sokoni
Mfalme wa Bongo Fleva Tanzania, Diamond Platnumz, ameingiza bidhaa yake mpya sokoni itakayopatikana muda wowote kuanzia sasa. Awali Diamond aliingiza Perfume mtaani akiwa ni msanii wa kwanza Tanzania kufanya hivyo…Read More
DIVA wa Clouds FM ajikita kwenye biashara ya urembo na nguo
Mtangazaji maarufu sana wa kike Tanzania na Afrika kwa jumla kutoka Clouds Fm Diva the bawse
ameamua kujikita katika nyanja za kibiashara. DJ CHoka alipata nafasi ya kupiga naye Story kuhusu mchongo huwo
Leo nil…Read More
DIWANI WA KATA YA MSHANGANO AJIUZULU
-
Diwani wa Kata ya Mshangano ,Samuel Mbano akionesha barua ya kujiuzulu
Diwani wa Kata ya Mshangano ,Samuel Mbano aliyejiuzulu kupitia Chama Cha
Mapind...
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment