Jacqueline Wolper.
MWIGIZAJI
Jacqueline Wolper, amesema anaumizwa sana na tetesi zinazozagaa kama
moto wa kifuu kitaani kuwa anajihusisha na vitendo vya usagaji.
Akizungumza na paparazihuru kuhusiana na skendo hiyo, mwanadada huyo
alisema, akiwa kama mwanamke anayejitambua na kumtukuza vyema Mungu
wake jambo hilo limekuwa likimuumiza.
“Roho inaniuma sana kuhusiana na hizo taarifa sijui niongee nini ili jamii inielewe kile nitachokizungumza, ni ngumu sana kufanya hicho kitu ambacho najua hakimpendezi Mungu kivyovyote vile,” alisema Wolper
“Roho inaniuma sana kuhusiana na hizo taarifa sijui niongee nini ili jamii inielewe kile nitachokizungumza, ni ngumu sana kufanya hicho kitu ambacho najua hakimpendezi Mungu kivyovyote vile,” alisema Wolper
0 MAONI YAKO:
Post a Comment