Kwa mujibu wa mdogo wake aitwaye Muweta alisema kuwa siku ya tukio msanii huyo alimfuata mama yake huyo nyumbani kwake na kumlaza kwenye makochi na kuanza kumkata sikio kwa kisu huku akimwambia kwanini anamroga baada ya kufanya tukio hilo alitokomea kusikojulikana
TANZANIA NA MAREKANI WASHIRIKIANA KUKUZA TEKNOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Tanzania na Marekani zimeonyesha dhamira ya kuimarisha ushirikiano wa muda
mrefu katika sekta ya teknolojia na madini, hasa kat...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment