Inawezekana ikawa imezoeleka ile mila ya kurithishana wake lakini hii hutokea kwa kaka au mdogo wa Marehemu ingawa kwa sasa mila hiyo haipo baada ya kupingwa na serikali pia sasa hii imetokea kwa jamaa kumrithi mama yake wa kambo baada ya baba yake mzazi kufariki,sababu na chanzo kipo hapa. Sikiliza Clouds Fm kupitia 88.4 Mtwara. Bonyeza play kusikiliza.
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya March 24
Habari za leo hii ndugu mdau wa ubalozini.blogspot.com. Karibu tena katika pitio la magazeti ya leo. Leo ni 24 March 2016, tumekukusanyia magazeti haya hapa ili upate kupitia kwapo kwa ufupi katika kurasa za…Read More
Malaika wa Ainea kuibukia Mpwapwa
Anaitwa Ainea mkali wa ngoma kibao zilizo wai kufanya vizuri na sasa
kibao chake cha malaika ndicho ambacho ameachia hivi karibuni.
sasa anawaalika wakazi wa mpwapwa wote kwa kiingilio cha shilingi 5000
kuhudhuli…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment