Inawezekana ikawa imezoeleka ile mila ya kurithishana wake lakini hii hutokea kwa kaka au mdogo wa Marehemu ingawa kwa sasa mila hiyo haipo baada ya kupingwa na serikali pia sasa hii imetokea kwa jamaa kumrithi mama yake wa kambo baada ya baba yake mzazi kufariki,sababu na chanzo kipo hapa. Sikiliza Clouds Fm kupitia 88.4 Mtwara. Bonyeza play kusikiliza.
Sheria mpya ya msichana kuolewa ni hii
Malawi ni moja ya nchi ambazo zina
tatizo kubwa la ishu ya ndoa za utotoni, tafiti zinaonyesha karibu nusu
ya wasichana wa nchi hiyo wameolewa wakiwa hawajatimiza miaka 18.
Kutokana na kuendelea kwa tatizo hilo la
…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment