April 15, 2014


DSC_0056 
Mazishi ya Mzee Gurumo yamefanyika leo katika kijiji cha Masaki kilichopo wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani ambako mamia ya watu yalikusanyika kumsindikiza kwenye safari yake ya mwisho.
Miongoni mwa watu waliohudhuria mazishi haya ni pamoja na Wasanii Ally Choki, Super Nyamwela,Mzee Zahir Zoro,Profesa Jay na wanamuziki wengine wa band mbalimbali Tanzania.
4mazishi 

3mazishi


8mazishi 

5mazishi  

DSC_0067 

63mazishi 

62mazishi 

36mazishi 

66mazishi 
Picha na Millardayo.com

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE