Mechi iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu kubwa ya watani wa Jadi Tanzania Yanga na Simba, imemalizika kwa timu hizo kwenda sare ya gori moja kwa moja. Simba ndiyo iliyokuwa ya kwanza kuliona lango la yanga kupitia kwa mfungaji wake Chanongo dk 75, baadaye Yanga wakasawazisha kupitia kwa Simon Msuva dk 86
JACKLINE ISARO AANZA RASMI MAJUKUMU KUTUMIKIA NGOKOLO...."SITAKUWA DIWANI
WA MANENO"
-
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Jackline Isaro, ameanza rasmi majukumu yake
baada ya kula kiapo cha udiwani leo Desemba 4, 2025, akiahidi kusimama
imara katika...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment