
Raisi wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania
Dk. Jakaya Kikwete akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za
miaka hamsini ya muungano wa tanaganyika na zanzibar zilizofanyika
kwenye uwanja wa uhru jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na

Kikosi cha makomandoo kikipita kwa mwendo wa aina yake wakati wa shrehe za muungano wa miaka 50

Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria
sherehe za miaka 50 ya muungano ambazo zimefanyika katika uwanja wa
Uhuru jijini Dar es salaam.

Kikosi cha makomandoo kikitoa salaam kwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Makomandoo wakionyesha namna ya kupambana bila kutumia nyenzo hapa wakivunja matofali kwa kutumia kichwa na mikono.

Baadhi ya silaha za kijeshi zikipitishwa mbele ya umati kuonyesha uwezo mkubwa wa jeshi letu.

Kikosi cha Wanamaji.

Ndege za kivita zikilinda ndege ya Rais
katika maonyesho ya ndege yaliyofanyika kwenye kilele cha maadhimisho ya
miaka 50 ya muungano. 

Askari wa kikosi cha mwamvuli akishuka kutoka futi 4500 kwenye uwanja wa Uhuru kwenye kilele cha miaka 50.

Rasi Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pongezi mmoja wa wanajeshi wa kikosi cha mwamvuli.

Maandamano ya Pikipiki.

Matembezi maalumu ya kusherehekea miaka 50 ya muungano.

Njiwa wakirushwa juu kama Ishara ya Miaka 50 ya Muungano ambapo watu waliorusha njiwa hao nao wametimiza miaka hamsini (50)
Source. Habari24 blog
0 MAONI YAKO:
Post a Comment