April 07, 2014

Image00023
 New Maisha Club Morogoro April 06 kulikua na uzinduzi wa video ya Chuna Buzi ya Shilole ambayo ilikua fursa ya wananchi wa Morogoro kukusanyika pamoja na kuitazama hiyo video,show ilisindikizwa na wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva.
Miongoni mwa wasanii hao ni pamoja na Darasa,Nuh Mziwanda na baadae Stamina alitokea kwa ajili ya kusapraiz mashabiki wa Morogoro ambao hawakujua uwepo wake kwa ile show.
Hizi ni picha za kilichofanyika New Maisha Club Morogoro kwenye uzinduzi wa video ya Shilole.
Image00052 

Image00051
 Team Shilole kazini


Image00048 
Shilole akikamua jukwaani
Image00046 

Image00047 

Image00043 


Image00039 


Image00031 

Image00030 

Image00025 
Darassa

Image00026 

Image00023

Image00021 


Image00018 
Stamina Kabwela kwa stage
Image00020 
Image00013
 Nuh Mziwanda


Image00007 

Image00006 

Image00005 

Image00004 

Image00001

 Source: millardayo.com

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE