Picha hii kutoka kwa Shilole enzi zake zamani kabla hajaanza kazi kwenye kiwanda cha burudani.
Hapo alikuwa anaitwa Zuwena kabla ya majina ya Shilole na Shishi baby hayajaanza kutumika.
Manji atoa sababu za kugoma kuvuliwa udiwani
MFANYABIASHARA Yusuf Manji ameieleza Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu leo September 9, 2017 kuwa yeye bado ni Diwani wa Kata ya
Mbagala Kuu na kudai kuwa hatambui kuvuliwa udiwani kama ilivyotangazwa
na Mstahiki Mey…Read More
Dayna Nyange akoshwa na muziki wa A.Y na Fid Q
Msanii wa Bongo Flava Dayna Nyange amedai kuwa kipindi cha nyuma muziki
wa AY na Fid Q ulimpelekea kupenda muziki na atimaye kutumbikia katika
tasnia hiyo.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment