May 06, 2014

Msanii nguli wa Hip Hop Tanzania mwenye mashabiki wengi Fid Q amehabarisha kuwa kila mtu amefurahi kwa yeye kushinda Tuzo ya Mwana Hip Hop Bora wa Mwaka , Amesema hiyo inajidhihirisha hata kwenye Social Media kila mtu anasifia na kukubali ishindi wake ..Amasema Amebaniwa Miaka Mingi hiyo tuzo na Hatimae ameipata....

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE