May 13, 2014

Gavana Evans Kidero
Gavana wa mji mkuu wa Kenya Nairobi, Evans Kidero ametimuliwa mamlakani na mahakama ya rufaa.
Mahakama hiyo, imeamua kuwa Kidero na naibu wake Jonathan Mueke hawakuchaguliwa kihalali.
Uamuzi huo ulitolewa kufuatia ombi la waziri msaidizi wa zamani Ferdinand Waituti ambaye aliwania kiti hicho wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2012.
Gavana Kidero alisifika wakati mmoja kwa tukio la kumzaba kofi mwakilishi wa wanawake nchini Kenya Rachel Shebesh walipodai kuwa alivamia ofisi yake akiwa ameambatana na na wafanyakazi wa baraza la jiji waliokuwa wanadai kushughulikiwa kwa maslahi yao ya kikazi.

Related Posts:

  • Slaa amfagilia Magufuli, aisifu ACT kupambana na ufisadi Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema anamkubali kwa asilimia 90 mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akisema anafaa kwa nafasi hiyo kwa kuwa ni jasiri na ana uwezo wa kup… Read More
  • Leo katika magazeti yetu ya TanzaniaKutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili  Octoba 11, 2015 tumeingia katika chumba cha habari cha TZA kinachomilikiwa na Millard Ayo na  tayari tumeyakusanya Magazeti yote ya leo hii  na stori zake kubwakubwa … Read More
  • Lowassa afunika Karatu Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Mbowe, Mjini Karatu, Mkoani M… Read More
  • New Audio| King Kapita_ Vizabizabina| Download hapa Mwana muziki mwenye kipaji cha kukidhi haja toka nchini Tanzania King Kapita, amekuletea tena ngoma yake mpya kabisa aliyomshirikisha Cannibal Shaitta toka nchini Kenya wimbo unaitwa vizabizabina, wimbo ambao umefany… Read More
  • lowassa aiteka Tarime Vijana wa Mjini Tarime wakiongoza mapokezi ya Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, alipowasili mjini Tarime kwa Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 10, 2015.… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE