Gosby
Alisema walifanya kazi kubwa kuhakikisha anapata akaunti hiyo licha ya usumbufu wa hapa na pale aliokuwa akiupata ukiwemo wa kuchelewa kurudishwa kwa majibu ya fomu twalizokuwa wakipewa na mtandao huo na hivyo kuchukua muda mrefu kidogo kurejeshea majibu.
Kwa wale wasiyoifahamu Vevo ni mtandao unaotoa huduma ya video ambao unaomilikiwa na kuendeshwa kwa ubia wa lebo kubwa mbili ikiwemo ya Universal Music Group(UMG) na Sony Music Entertainment (SME), ikishirikiana na Google pamoja na Abu Dhabi Media.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment