May 01, 2014

 
 Kama unamfatilia kwa ukaribu Rihanna utagundua kuwa anapenda sana kujiweka mtupu kkama alivyozaliwa, sana tena wala sio kidogo, kuachioa sehem kubwa ya mwili wake ukiwa uchi, lakini safari hii Rihanna safari hii Instagram wamempiga  mkwara  baada ya kuzipost picha zake za uchi ambazo IG wameona kama ameenda mbali sana kwa sasa
Rihanna alipost picha IG akiwa hana nguo ya juu, na zingine akiwa hana kabisa siku ja jana (juma nne) kutoka kwenye photo shooy yake na gazeti  la LUI (French skin magazine) na baada ya saa moja IG wakazipiga chini, kwasababu zimevunja sharia dhidi ya utupu.

 
hanzo kilichokaribu na Insta Gram kiliiambia TMZ kuwa Rihhana alipokea email ambayo ilimuonya "Vaa nguo au hatarisha kufungiwa kwa akaunti yako ya Insta Gram milele
 
lakini licha ya oonyo hilo, IG wameshindwa kumzuia, maana alizitupia picha zote kupitia akaunti yake  y atwitter  https://twitter.com/rihanna/media

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE