Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kutoka Tanzania amekutana na
Waziri Mkuu wa China Mh. Li Keqiang kwa mazungumzo ya Mkutano wa Uchumi
Duniani, mkutano huo uliyofanyika barani Afrika katika jijini Abuja,
Nigeria siku ya Mei 7, 2014. Ikiwa lengo kubwa ni kuinua uchumi katika
nchi mbalimbali za barani Africa.
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment