Amina
Ngaluma ni miongoni mwa waimbaji ambao waliipa umaarufu bendi ya
African Revolution ‘Tam tam’ kupitia wimbo wa Mgumba na baadae kujiunga
na bendi ya Double M Sound,kupitia ukurasa wa Amina Ngaluma wa Facebook
watu mbalimbali wameandika salaam za msiba huu.
Chanzo cha kifo bado hakijafahamika ingawa wamesema kuwa walimuuguza
kwa siku kadhaa kabla ya umauti kumfika,taarifa zaidi tunazidi kuzifwatilia
0 MAONI YAKO:
Post a Comment