Mtandao wa YouTube unatarajia kuondoa Video za wanamuziki Adele,
Arctic Monkeys na Radiohead, kutokana na lebo za muziki walizopo kukataa
kukubaliana na masharti ya mtandao huo.
Kampuni ya Google, inayomiliki mtandao wa YouTube, imekuwa ikifanya
mazungumzo ya kimikataba wakati ikijiandaa kuzindua huduma yake mpya ya
muziki. Msemaji wa lebo za indie amesema YouTube imekuwa ikitoa hukumu za kibiashara. YouTube imesema inaleta mapato mapya ya miito katika kiwanda cha muziki.
KILA MWANAUME NILIYEGUSA ALIFILISIKA
-
Sijui nilianza kuichukia nafsi yangu lini, lakini ilianza taratibu.
Mwanaume wa kwanza aliyenipenda kwa dhati alipoteza kazi wiki tatu baada ya
tumeanza m...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment