Mtandao wa YouTube unatarajia kuondoa Video za wanamuziki Adele,
Arctic Monkeys na Radiohead, kutokana na lebo za muziki walizopo kukataa
kukubaliana na masharti ya mtandao huo.
Kampuni ya Google, inayomiliki mtandao wa YouTube, imekuwa ikifanya
mazungumzo ya kimikataba wakati ikijiandaa kuzindua huduma yake mpya ya
muziki. Msemaji wa lebo za indie amesema YouTube imekuwa ikitoa hukumu za kibiashara. YouTube imesema inaleta mapato mapya ya miito katika kiwanda cha muziki.
TUFUATE TARATIBU ILI KUDUMISHA AMANI YETU- MALECHA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Khalid Malecha, Mkazi wa Kitonga Jijini Dar Es Salaam, ameeleza kuwa maelfu
ya wananchi waliathirika moja kwa moja na ghasia na m...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment