June 25, 2014




Ijumaa hii ya TH 27 june pale Msamvu Teminal, Mfalme wa Rhyme Tanzania Afande sele, ataazimisha miaka kumi ya ufalme wa Rhymes. Huku ikitarajiwa kuwa ni show ya kihistoria ambayo itajumuisj\ha wakali wote wa Bongo fleva wa kitambo na sasa. Lakini hii leo Mfalme sele ameachi wimbo wa miaka kumi ya Ufalme kama zawadi kwa wadau wa mziki huu.
SKILIZA HAPA

Related Posts:

  • Live Match: Arsenal VS Leicester City   Fwatilia hapa mpambano wa kukata na shoka wa ligi kuu Uingereza unaowakutanisha mabingwa wa ligi hiyo  Leicester City dhidi ya Arsenal FC. Mpambano wa leo Arsenal wanawakaribisha Leicester   &nbs… Read More
  • Serena: Sikutaka watu wajue nina mimba   Serena Williams amesema kuwa alifichua kuhusu mimba yake kimakosa baada ya kuweka picha kwa Snapchat. Bingwa huyo wa taji la Grand slam mara 23 alichapisha picha katika mtandao huo wa kijamii akijiangalia katika… Read More
  • Wenger: Sitamuuza Sanchez kwa wapinzani wangu   Alexi Sanchez   Mshambuliaji wa Arsenal Alexi Sanchez hatouzwa kwa kilabu ya ligi ya Uingereza kulingana na mkufunzi Arsene Wenger. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 kutoka Chile, ambaye alifunga bao la… Read More
  • Hussein Bashe atuma salam za siku ya muungano   Mbunge wa Nzega mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Hussein Bashe, ameungana na watanzania katika maahimisho ya siku hii ya muungano kwa kutuma salam zake kwa taifa letu. Kupitia twitter Mh: Bashe ame tweet … Read More
  • Live Match : Barcelona VS Osasuna   Ligi Kuu nchini Ispania inaendelea tena muda huu ambayo inawakutanisha Barcelona wanapambana dhidi ya  Osasuna. Fwatilia hapa uapate kujua matokeo ya mchezo huo.        … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE