June 26, 2014

dyna 

  Mkali wa muziki wa Bongo freva Toka mkoani Morogoro Dayna Nyange aka East African Queen, anataraji kuachia wimbo mpya kesho katika vituo mbalimbali vya radio. Akizungumza na ubalozini.blogspot.com Dayana amesema wimbo upo tayari, unaitwa I DO , umefanyika katika studio mpya za CONGA music chinmi ya Producer Triss. Endelea kufwatilia ubalozini.blogspot.com kupata wimbo huo.

Related Posts:

  • Adithi ya Mrisho Mpoto:Nusu ya Faida     Tajiri mmoja alitaka kufanya sherehe na kuwaalika marafiki zake. Akaandaa kila aina ya chakula lakini hakuweza kupata Samaki, hivyo akatoa zawadi kwa yoyote atakayemletea Samaki ili sherehe yake ikamilike.… Read More
  • Rage: TFF Inapaswa Kudai Fidia CAF Aliyekua Mwenyekiti wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage amelitaka shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kufuata kanuni za CAF ilii kufidia gharama walizoingia baada ya timu ya Chad kujitoa kushiriki michuano y… Read More
  • Rais Magufuli Awataka Watanzania Waepuke Misaada ya Masharti Toka kwa Wazungu   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefika nyumbani kwake katika kijiji cha Mlimani, Wilaya ya Chato Mkoani Geita kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kuwa Rais, ambapo akizung… Read More
  • Rose Muhando ameshtakiwa Msanii wa nyimbo za injili nchini, Rose Mhando, ameshtakiwa kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, kwa kitendo cha utapeli na kushindwa kutekeleza mkataba wa kuhudhuria na kutumbuiza kw… Read More
  • Amitabh Bachchan ashinda tuzo ya Bollywood    Amitabh Bachchan  Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan na Kangana Ranaut wameshinda mataji makuu katika tuzo za kitaifa za filamu nchini India. Bachchan alishinda tuzo ya mu… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE