Mkali wa muziki wa Bongo freva Toka mkoani Morogoro Dayna Nyange aka East African Queen, anataraji kuachia wimbo mpya kesho katika vituo mbalimbali vya radio. Akizungumza na ubalozini.blogspot.com Dayana amesema wimbo upo tayari, unaitwa I DO , umefanyika katika studio mpya za CONGA music chinmi ya Producer Triss. Endelea kufwatilia ubalozini.blogspot.com kupata wimbo huo.
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAHITIMISHA ZIARA YA UKAGUZI
WA MIRADI YA UMEME MKOANI NJOMBE
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekamilisha ziara yake ya
siku tatu mkoani Njombe kwa kukagua utekelezaji wa miradi ya Nishati
Vijijini (R...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment