Mkali wa muziki wa Bongo freva Toka mkoani Morogoro Dayna Nyange aka East African Queen, anataraji kuachia wimbo mpya kesho katika vituo mbalimbali vya radio. Akizungumza na ubalozini.blogspot.com Dayana amesema wimbo upo tayari, unaitwa I DO , umefanyika katika studio mpya za CONGA music chinmi ya Producer Triss. Endelea kufwatilia ubalozini.blogspot.com kupata wimbo huo.
ODDO MWISHO AENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA WILAYA YA TUNDURU
-
Mwenyekiti Wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa Oddo Mwisho akizungumza na
wananchi wa Kata ya Matemanga iliyopo Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma
Mwenyekiti Wa Ch...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment