Mkali wa muziki wa Bongo freva Toka mkoani Morogoro Dayna Nyange aka East African Queen, anataraji kuachia wimbo mpya kesho katika vituo mbalimbali vya radio. Akizungumza na ubalozini.blogspot.com Dayana amesema wimbo upo tayari, unaitwa I DO , umefanyika katika studio mpya za CONGA music chinmi ya Producer Triss. Endelea kufwatilia ubalozini.blogspot.com kupata wimbo huo.
June 26, 2014
8:33 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Top 40 ya Nyimbo kali Africa ipo hivi, Aje ya Ali Kiba yashika namba 3 All voting closes every Friday at 11:00am and re-opens on Saturdays at 11:00am. Thanks for your participation. Tune into the #AfricanTop40 every Saturday between 08:00-11:00am CAT on transafricaradio.net / taradio.mobi … Read More
Pluijm: Samatta ni mfano wa kuigwa KIWANGO kinachoonyeshwa na mshambuliaji wa Genk ya Ubelgiji, Mtanzania, Mbwana Samatta, kimemkuna Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm na mwisho akafafanua kuhusiana na uwezekano wa siku moja staa huyo kucheza katika… Read More
JWTZ yatangaza kufanya usafi nchi nzima september 1 Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) leo linaanza shamrashamra za maandalizi kuelekea siku ya maadhimisho ya 52 ya majeshi inayotarajiwa kufanyika Septemba Mosi mwaka huu kwa kufanya usafi na upandaji miti katik… Read More
Benjamin Mkapa awakutanisha Lowassa na Magufuli Zikiwa zimebaki siku chache Chadema wafanye operesheni yao ya Ukuta ambayo Rais, Dkt. John Magufuli ameikataza, Kiongozi wa Chadema na aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama hicho, Edward Lowassa amekutana ana kwa ana … Read More
Benjamin Mkapa awakutanisha Lowassa na Magufuli Zikiwa zimebaki siku chache Chadema wafanye operesheni yao ya Ukuta ambayo Rais, Dkt. John Magufuli ameikataza, Kiongozi wa Chadema na aliyekuwa mgombea Urais kupitia chama hicho, Edward Lowassa amekutana ana kwa ana … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment