June 03, 2014

 
Diana Magesa katika moja ya vazi lake

  Kauli kubwa niliyoipenda toka kwa Diana Magesa nilipopiga naye story pale Ofini kwake amesema
  "naamini  kabla sijafa  nitafanya jambo kubwa sna mpaka dunia itashangaa"

 
Moja ya vazi lililobuniwa na Diana Magesa

  
Vazi hili lilichaguliwa kuwa vazi bora Duniani 2011, limebuniwa na Diana 



 

 

  
Mbunifu wa Mavazi wa Morogoro, Diana Magesa (kushoto), akizungumzia fursa ya mambo ya ubunifu, huku akionyesha mavazi yake kwa kumvisha Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM,  Jelard Hando

Yupo Ghorofa la Lotto Mkabala na Manispaa ya Morogoro.

Au wasiliana nami nami nitakufikisha kwake kwa 0717 51 96 52

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE