June 05, 2014


studio_pic_23  
Siku chache baada ya taarifa za kutoka Morogoro zilizomhusu Mtoto Nasra ambaye kwa sasa ni marehemu ambaye alifungiwa kwenye box kwa miaka 4,leo kutoka idara ya Hekaheka za leo kuna taarifa za namna hiyo.
mtoto 
Taarifa inasema kuwa kuna mwanamke alikuwa anaishi na msichana wake wa kazi amefanya unyama kwa msichana huyo kwa kumfungia ndani kwa miaka 3 na kumtesa kwa kumn’gata’kwa meno ikiwa ni pamoja na kumchoma na pasi.
Mengine amekua akimpiga kila sehemu ya mwili wa huyo binti huyo na kwa sasa ana makovu mpaka kwenye makalio na kitu ambacho hakijafamiaka ni msichana huyo kujisaifia haja ndogo kila baada ya dakika 5.

Bonyeza play kusikiliza.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE