Siku chache baada ya taarifa za kutoka Morogoro zilizomhusu Mtoto Nasra ambaye kwa sasa ni marehemu ambaye alifungiwa kwenye box kwa miaka 4,leo kutoka idara ya Hekaheka za leo kuna taarifa za namna hiyo.
Mengine amekua akimpiga kila sehemu ya mwili wa huyo binti huyo na kwa sasa ana makovu mpaka kwenye makalio na kitu ambacho hakijafamiaka ni msichana huyo kujisaifia haja ndogo kila baada ya dakika 5.
Bonyeza play kusikiliza.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment