Mwananchi mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ameuawa kwa
kupigwa risasi na majambazi eneo na Clock Tower jijini Arusha. Majambazi
hao walikuwa wakipora kwenye Bureau De Change iitwayo Nothern ambapo
marehemu alikuwa akipita jirani na eneo hilo na alipowaona alipiga
kelele ndipo akafyatuliwa risasi kadhaa na kupoteza maisha.…Samahani kwa
picha utakazoziona.
TAWA YAKABIDHI BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI MCHENGERWA, RUFIJI
-
Na Beatus Maganja, Rufiji, Pwani.
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imekabidhi rasmi bweni
jipya la wasichana katika Shule ya Sekondari...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment