Kitu ambacho kimejificha mpaka sasa hivi ni nini kinaendelea kati ya mwanamuziki toka Morogoro Dayna Nyange na Mshiriki wa Big Brother Afrika 2013 Nando. Bado haijafahamika maana picha zilizonaswa mtandaoni ni za mashaka ambazo zinawaonesha wawili hao kama wapo katika mahusiano vile!! Haijafahamika bado. Dayna hakkuweka wazi juu ya hilo na tulimtafuta nando bila mafanikia kwani simu yake inaita tuu bila kupokelewa.
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
10 minutes ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment