June 10, 2014


Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa (the chase) 2013, Amir Nando ameweka wazi kuwa hajawai kuwa na uhusiano ya kimapenzi na mwanadada wa filamu, Elizabeth Micheal aka Lulu, lakini anakubali sana.



Akizungumza na Global Tv ,Nando amezungumzia pia mipango yake ya kufanya filamu na mwanadada huyo wa filamu.



“Lulu nishaonana nae, mara mbili mara tatu lakini sina uhusiano nae na sijawai kuwa na uhusiano nae, ila namkubali sana, mwanamke unajua mzuri, shepu, mwonekano wake, michezo yake, tunaonana tu ile oya niaje mara mbili mara tatu. Na proposal mimi, akitaka tukae chini tutengeneze movie, hicho ndicho nachotaka nifanye, akikubali tutafanya, lakini Lulu ni mkali, niko tayari kumuoa lakini sijamwambia, Kwa sasa ni mshikaji wangu tu na napenda kazi zake. Huwa ni mtu ambaye napenda kufuatilia ishu zake” Alisema Nando

     TAZAMA HAPA
    

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE