June 22, 2014


Hamad Ali a.k.a Madee pia unaweza kumuita Rais wa Manzese, anatarajia kuachia ngoma yake nyingine inayoitwa Paulina akiwa na Raymond wa Tiptop.

Siku mbili zilizopita Madee alikua Morogoro akishuti video ya wimbo huo na Director Tonee kutoka Kiumbe, katika video hiyo itaonekana sura ya Jini Kabula akiwa kama Paulina.

Hizi ni picha wakati tukio zima la utengenezwaj wa video hiyo likiendelea.














 
 


 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE