June 28, 2014


118sele 
Usiku wa June 27 ni usiku uliokuwa na burudani nyingi sana hasa kwa zile ambazo uliwahi kuzisikia kipindi cha nyuma kiukweli ni jukwaa lililowakutanisha wakali wengi wa muziki wa zamani wa muziki wa kizazi kipya ambao wengi wao hujapata nafasi ya kuwasikia hivi karibuni.
159sele 
Miongoni mwa watu ambao niliwaona kwenye stage ambao ni pamoja na Daz Baba,O ten,Mapacha,Man dojo&Domokaya,Jitaman ambao kwa pamoja walipata sapoti kutoka kwa wadogo zao Barakah Da Prince na Chriss Omarya.
Ilikua ni list fulani hivi ambayo iliwafanya watu wengi waliokusanyika ukumbi wa Msamvu Terminal Pub kujawa na hamu mpaka alipokuja kumaliza Afande Sele ambaye alikua mtu wa mwisho kuperfoam ambapo allianza kuuperfoam wimbo wa Elimu Dunia aliyoshirikishwa na Daz Baba.
Baadhi ya picha za show miaka 10 ya Mfalme wa Rhymes iliyokua Morogoro.
165sele 
DJ Fatty
10sele 
DJ Askofu akifanya yake
18sele 
Chriss omarya
20sele 
Zombi President toka mPlanet fm
24sele 
Jitta Man kutoka Mwanza nae alikuwepo.
32sele 
Barakah Da Prince

36sele 
Mapacha[Vinega]
48sele 

47sele 
Chigga Son kutoka Planet Fm Morogoro.
46sele 

44sele 

42sele 
Dotto wa mapacha
41sele 
K wa mapacha
49sele 

51sele 

54sele 
Man Dojo
56sele 
O-Ten
58sele 

60sele 
O-ten On stage
70sele 

67sele 

64sele 

63sele 

62sele 

61sele 

75sele 

77sele 

79sele 

80sele 

81sele 

83sele 

105sele 
Afande Sele na Ballet Walet.
101sele 
Afande Sele na Daz Baba wakiimba Elimu Dunia.
95sele 

93sele 
Afande Sele na wadau wa Morogoro
92sele 
Afande Sele,Man Dojo na Jose wa Morogoro
90sele 

110sele 

115sele 

116sele 

117sele 

118sele 

119sele 

143sele 

135sele 

129sele 

126sele 

123sele 

122sele 

145sele 

147sele 

149sele 

150sele 

153sele 

154sele 

181sele 

172sele

159sele 

158sele

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE