Mkurugenzi wa THT Ruge Mutahaba akizungumza katika hafla ya kumuaga kijana wake LinahSanga kutoka THT na kuhamia katika kampuni ya No fake Zone (NFZ) ambao ndiyo itakayomsimamia msanii huyo kwa sasa
Ruge Mutahaba akimkabidhi cheti cha ustadi msanii Mwasiti ambaye ameitambulisha vizuri THT
Emma the boy naye alikabidhiwa Cheti cha ustadi wa kazi kama Pruducer
Ruge Mutahaba akimkabidhi cheti Lameck Ditto kwa kuitambulisha vema THT
msanii Linah akitoa shukrani kushoto ni mkurugenzi wa FNZ abby
Lina akimkabidhi Ruge Mutahaba zawadi kama Shukrani zake
Msanii Linah akimpatia zawadi mwalimu wake Nkya
DJ Fetty naye alikuwepo
Dayna Nyange pia alikuwepo katika kumuaga Best ayke Linah
kwa mbali namuona mdau Daudi wa kota mwenye fulana nyeusi kushoto





0 MAONI YAKO:
Post a Comment