
Mkurugenzi wa THT Ruge Mutahaba akizungumza katika hafla ya kumuaga kijana wake LinahSanga kutoka THT na kuhamia katika kampuni ya No fake Zone (NFZ) ambao ndiyo itakayomsimamia msanii huyo kwa sasa

Ruge Mutahaba akimkabidhi cheti cha ustadi msanii Mwasiti ambaye ameitambulisha vizuri THT

Emma the boy naye alikabidhiwa Cheti cha ustadi wa kazi kama Pruducer

Ruge Mutahaba akimkabidhi cheti Lameck Ditto kwa kuitambulisha vema THT

msanii Linah akitoa shukrani kushoto ni mkurugenzi wa FNZ abby

Lina akimkabidhi Ruge Mutahaba zawadi kama Shukrani zake


Msanii Linah akimpatia zawadi mwalimu wake Nkya

DJ Fetty naye alikuwepo

Dayna Nyange pia alikuwepo katika kumuaga Best ayke Linah



kwa mbali namuona mdau Daudi wa kota mwenye fulana nyeusi kushoto





0 MAONI YAKO:
Post a Comment