Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda.
Kadinda alitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati akipiga stori na
paparazzi wetu kuhusu masuala mbalimbali yanayomhusu msichana huyo
ambaye ana uhusiano wa kimapenzi na mkali wa Bongo Fleva, Diamond
Platinumz.
Martin Kadinda akiwa na Wema Sepetu.
Kuhusu maisha wanayoishi nyota hao wawili wapenzi, Kadinda alisema kwa
jinsi wanavyoishi ni kama watu wanaoigiza, akitolea mfano wa kipindi
walichorudiana wakiwa nchini China, ambako wenyewe walisema wanaigiza
filamu wakati ndiyo kwanza walikuwa wanarejesha penzi lao lililovunjika
mara ya kwanza
0 MAONI YAKO:
Post a Comment