Ni ndani ya Mji wa Morogoro utakapozizima kwa masaa kufuatia bonanza kubwa la Bongo fleva litakalofanyika siku ya Eid Pili ndani ya ukumbi wa mabo Club, Dj steve B, Zombi Prezdaa, Kareem Omari KO watahusika huku burudani toka kwa Rais wa Manzese madee, Linex Linenga, Mirror, Y thony mzee wa masebene, Dknob na Young Suma kwa mara ya kwanza utamshuhudia kwa Stage msanii mchanga kabisa toka Morogoro Imma Poison huku wasanii kibao toka Morogoro wakikimbiza mbayaa. Ni Eid pili pale mambo Club. Usikose
July 28, 2014
5:36 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Kurasa za Magazetini leo jumanne ya 18 oct ziko hapa Habari mpenzi msomaji. Karibu katika kurasa za Magazetini leo hii Jumanne ya 18 Oct 2016. Habari kubwa zilizobeba uzito katika kurasa za mbele na za nyuma ni hizi hapa tumekuwekea. … Read More
Mahakama Yaitupilia Mbali Kesi Ya Mbowe Hotels Dhidi Ya Shirika La Nyumba La Taifa (NHC ) Mahakama kuu kitengo cha Ardhi imetupilia mbali kesi ya maombi ya kurejea katika jengo iliyokuwa ofisi ya Tanzania Daima pamoja na ukumbi wa bilcanas. Hukumu hiyo imetolewa leo na Jaji mfawidhi wa mahak… Read More
Basi la Barcelona lapata ajali na kuua Watu 10 wamefariki dunia na wengine 44 wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Barcelona walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoani Lindi kupata ajali eneo na Miteja mk… Read More
Rasmi Ronaldinho arejea Barcelona Baada ya miaka nane tangu aondoke Barcelona, s… Read More
Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Aliyewatishia Bastola Trafiki Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Aliyewatishia Bastola Trafiki mkoani Morogoro. Taarifa iliyotolewa leo hii na Ikulu inasema … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment