Hii ni kwa mashabiki wa mwanamuziki Akon, amerudi hivi !!!!
Mara ya mwisho umenunua Album ya Akon ilikuwa lini?! Amini, usiamini imepita miaka saba toka Akon aziandike headlines kwenye kurasa za burudani! yes, miaka saba toka Akon aachie Album yake ya mwisho!
Good news mtu wang…Read More
Wasanii Bungeni watimize waliyoahidi - Stereo
Msanii Stereo amewataka wasanii waliofanikiwa kuchaguliwa kuingia
Bungeni, wakatimize wajibu wao kwa kuyatekeleza yale waliyoyaahidi
kipindi cha kampeni, na si kuyapuuzia baada ya ushindi.
Stereo
ameyasema …Read More
Mbeya City watua Tanga kuivaa Coastal Union
Nyota 19 wa kikosi cha Mbeya City Fc tayari wamewasili jijini
Tanga kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania dhidi ya Coastal
Union uliopangwa kuchezwa kesho jumamosi kwenye uwanja wa&nb…Read More
AZAKI zataka Magufuli kusimamia rasilimali
Mkurugenzi wa Watetezi wa Haki za Binadamu Onesmo Ole Ngurumwa,
Asasi zisizo za serikali (Azaki) wamemtaka Rais Mteule Dr John Magufuli
asimamie rasilimali za taifa ili ziwanufaishe wananchi wote na kuwatoa …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment