P-Square wagawanyika,
Kundi la P-Square halipo tena. Member wa kundi hilo, Peter Okoye amejitenga na kuanzisha management yake.
Hatua hiyo imekuja baada ya muimbaji huyo kutofautiana na meneja wao,
Jude Okoye ambaye ni kaka yak…Read More
Kagame aamua kumuiga Magufuli
Rais wa Rwanda Paul Kagame amelaumu Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kutumia pesa ‘kiholela’ kutokana na mawaziri kufanya ziara za mara kwa mara kuhudhuria mikutano.
Amesema mawaziri wa nchi yake wanatumia chombo hicho kama n…Read More
Kesi dhidi ya ushindi wa Museveni yaanza
Kesi inayopinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa urais nchini Uganda uliofanyika Feb 18 mwaka huu imeanza rasmi mjini Kampala.
Mtuhumiwa wa kwanza kwa wale walioshtakiwa amefika kizimbani.
Mwandishi
wetu wa Kampala S…Read More
Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili hii
-
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Amani
Golugwa, amesema chake, kitaanza...
The post Chadema kuanza kuwasha moto Jumapili...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment