July 14, 2014

Image00008 

 Ile ahadi aliyoiahidi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete leo imetimia baada ya wasanii mbalimbali wa filamu na waimbaji wa muziki kutoka kwenye aina tofauti ya muziki ikiwemo waimbaji wa Bendi,nyimbo za Injili na Bongo Fleva.
Terrence J,Chaka Zulu na David Banner ndio walikua waongozaji wa semina hiyo ambayo ilianza saa 4 asubuhi na kumalizika jioni saa 11 na nusu July 14,miongoni mwa wasanii waliiopata nafasi ya kuongelea changamoto za muziki wa Tanzania ni pamoja na Khadija Kopa.
Khadija Kopa amesema muziki wa Tanzania una changamoto nyingi na kusema ili kuwe na mafanikio kwenye sanaa yetu ya Tanzania kuna umuhimu wa wasanii wote kuwa na umoja ndipo mengine yatafuata na kuwa rahisi.
Wadau hao wamekuja nchini kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wasanii wa muziki na filamu ili kuweza kujiingizia kipato kupitia kazi zao na kujitangaza zaidi kimataifa,semina hii imefanyika kwenye ukumbi wa BOT uliopo Posta Dar es salaam.
Hizi ni baadhi ya picha za semina hiyo.

 Image00032 
Malkia wa mpasho Khadija Kopa
Image00033 
 Mpoto

 Dayna Nyange na Tarrence j
 IMG_2154 
Nando

Image00007 
 TARRENCE J NA CHAKA ZULU

 IMG_2219 
Boss Ruge Mutahaba

IMG_2217

 IMG_2208 
Ally Kiba
 IMG_2213

IMG_2175 

 IMG_2165 

IMG_2162
Mzee Yusuph

Related Posts:

  • Ronaldo amtamani Messi   Masaa machache kabla ya tuzo ya mwanasoka bora wa dunia kwa mwaka 2015 haijapata mmiliki wake, wachezaji watatu waliowania tuzo hiyo walikuwa na mkutano na waandishi wa habari. Katika mkutano huo uliofanyika muda… Read More
  • List ya washindi wa tuzo zinazohusiana na soka Duniani January 11 ndio ilikuwa siku ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFAkutangaza washindi wa tuzo kadhaa ikiwemo tuzo ya mchezaji bora wa Dunia ambayo ilikuwa inawaniwa naLionel Messi, Neymar na Cristia… Read More
  • Cheki pichaz za Party ya Samatta na zawadi aliyopewa na Serikali kwa kutwaa tuzo Zawadi ya Samatta kwa Waziri mkuu ikipokelewa na waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi Headlines za Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa n… Read More
  • Kampuni ya Pepsi yafutiwa leseni Waziri wa Ajira, Kazi, Sera na Bunge, Jenista Mhagama amefuta leseni ya wakala wa ajira wa Kampuni ya SBC Tanzania, watengenezaji na wasambazaji wa vinywaji vya Pepsi jijini Mwanza baada kukiuka Sheria ya ajira na uhusiano k… Read More
  • Waisrael wanne washtakiwa kwa mauaji Miongoni mwa Waisrael wanaokamatwa kwa kuchukua sheria mkononi Waisrael wanne wameshtakiwa kwa kuhusika na kumpiga mhamiaji kutoka Eritrea, ambaye alidhaniwa kuwa mpiganaji wa kiarabu. Habtom Zerhom alikuwa katika kituo cha b… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE