Mbali na kuzidi kuona nyimbo mbalimbali za wasani wanaofanya vizuri hivi sasa kutoka Bongo kama Diamond Platnumz na Ay. Vanessa mdee ameonekana aki-make headlines kwenye stesheni ya kimataifa ya Channel O, Vanessa this time haji tu kama msanii, bali akiwa anahojiwa kama mmoja wa msanii maarufu anayekuja kwa kasi barani Africa, Mkali huyu wa video ya Come Over inayo hit hapa town, ameanza kutambulika rasmi katika stesheni hiyo na kuzidi kufanya tzee iongeze vichwa zaidi vinavyopigwa katika stesheni hiyo, hiki ni kipande cha section ya introducing cha Channel O, ambapo utamuona Vanessa Mdee akifanya yake.
TARURA YATOA MAFUNZO KWA KAMATI ZA KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO MRADI WA RISE
-
Handeni, Tanga
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa mafunzo kwa
wajumbe wa kamati za kushughulikia malalamiko kupitia mradi wa RISE k...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment