Kama ilivyo kwa Serengeti Dance la Fiesta,upande wa Serengeti Super Nyota Divaz mkoa wa Tanga mshindi aliyepatikana anaitwa Sabrina Khamis,ambapo wasichana waliojitokeza kwa mkoa wa Tanga kwenye mashindano haya walikua 10.
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
4 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment