August 19, 2014


 
Marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame enzi za uhai wake.

 
Nyumbani kwa marehemu eneo la Masaki, Dar es Salaam.…

 
Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani, akitoa utaratibu wa mazishi ya Makame.
 

  

  
Baadhi ya waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu.
 
Ndugu na jamaa wakiwa msibani.
 
Kushoto ni Mhariri Mtendaji wa New Habari Cooperation, Absalom Kibanda, akiwa na Agustino Ramadhani  nyumbani  Makame.
MWILI  wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu, Lewis Makame,  utaagwa siku ya Ijumaa asubuhi nyumbani kwake Masaki, na baadaye kupelekwa katika kanisa la Mtakatifu Alban, Upanga, jijini Dar es Salaam kwa maombi na kisha kusafirishwa kuelekea Pongwe, Mkoani Tanga kwa ajili ya mazishi.
(Picha / Habari: Gabriel Ngosha na Haruni Sanchawa/GPL)

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE