August 18, 2014

 
Calvin Ponel aka Zombi Prezdaa
  Mtangazaji maarufu mkoani Morogoro toka Planet Fm ya mjini Morogoro, mc na mwimbaji wa muziki wa Bongo Freva  Calvin Ponnel aka Zombi prezdaa, jambazi MC Calvi amesikitishwa na kifo cha mzazi mwenzie na Afande Sele mama Tunda.
 
MC Calvin ambaye kwa sasa ndiye mtangazaji mwenye swaggs mkoanai hapa amesema alizipokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo chamama Tunda

"Mimi binafsi kiukweli nilizipokea kwa huzuni kubwa sana taarifa hizi za dada yangu kipenzi mama tunda coz ni siku km nne nilikutana nae mitaa ya samaki spot bima tulipiga sana mastoree mara mi nikasepa katika miangaiko yako yangu ya kila siku hukoooo turiani ktk show nilikua na At, Snura Y tonny na Msaga Sumu nikiwa huko mara asubuhi nikaanza pata sms kiba toka huku na kule kupitia whas app phone ,fb nk sio siri nilishtuka sana na kiukweli sikuamini kabisa taarifa hii maana nilishazowea mkoa wetu huu wa morogoro ua tuna katabia ka luzushiana vifo uongo kashfa nk bas kwanza nikala bati ili niulizie watu wangu ndipo nikaanza peleleza taratibu kwa kila mtu ajabu nikashangaa kila nimuulizae anasema hajui badi mi nikapotezea lakini ilipo fika mida ya saa nne asubuhi tu ndipo habari zikaanza sambaa basi fasta nikawspigia cm timu yangu ya mjengoni planet fm ili tufuatilie haraka habari hizi ili tuhakikishe km ni za kweli ili haraka tuwatangazie wana jamii wote waweze fahamu kwa haraka .....kingine namshauri kaka mkubwa apunguze msongo wa mawazo na badala yake amuombe na kumtegemea sana mungu kwa kila jambo napia amtangulize sana mungu katika kila jambo na watoto awafariji na kua nao karibu wakati wote kwani kazi yake mola haina makosa sababu akiamua lolote allah apingwi na kitu chochote coz sisi sote ni mali yake ki ukweli tulimpenda sana ndugu yetu kipenzi sana tena zaidi ya sana lakini mwenye mali zake ndio ivyo tena kampenda zaidi mi nadhani uzuni kilio na simanzi aachane navyo na kisha amgeukie sana mungu naamini kwa neema ya bwana yote yatakwisha ......namaliza kwa kusema ...ewe mwenyezi mungu muumbaji wa mbingu dunia na kila kitu nakuomba umuongoze kaka yangu suleiman msindi katika kipindi hiki kigumu cha mpito na uilaze roho ya dada yetu kipenzi mama tunda mahala pema peponi ...ameen......!

Amesema Zombi (baba Naomi) ambaye pia hufanya kazi na mashirika mbalimbali kama Faraja Trust Fund,Youth Challenge International ya Canada pamoja na Makoti Edwin wakiwa kama real sldier kundi la vijana shupavu

Mungu ailaze roho ya mama Tunda mahala pema peponi...

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE