Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Nyerere.
Rais
wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere'
ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram.
Amedai kuna mpango mbaya dhidi yake hivyo akaona bora ajiengue pasipo
kufafanua zaidi.
RIPOTI YA JAJI CHANDE IMETAKA UWAJIBIKAJI WA PAMOJA- MIRAJI
-
Mchambuzi wa masuala ya siasa Bw. Said Miraji amesema ripoti ya Tume huru
ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani ya wakati na baada ya uchaguzi
Mkuu ...
5 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment