Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Nyerere.
Rais
wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere'
ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram.
Amedai kuna mpango mbaya dhidi yake hivyo akaona bora ajiengue pasipo
kufafanua zaidi.
TUFUATE TARATIBU ILI KUDUMISHA AMANI YETU- MALECHA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Khalid Malecha, Mkazi wa Kitonga Jijini Dar Es Salaam, ameeleza kuwa maelfu
ya wananchi waliathirika moja kwa moja na ghasia na m...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment