Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Nyerere.
Rais
wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere'
ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram.
Amedai kuna mpango mbaya dhidi yake hivyo akaona bora ajiengue pasipo
kufafanua zaidi.
DIWANI KISHAPU : INJILI IENDELEE KUHUBIRIWA, NI CHANZO CHA BARAKA KWA TAIFA
-
Diwani wa Kata ya Kishapu Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe.Joel
Ndettoson akizungumza umuhimu wa neno la Mungu kwa wanadamu na taifa
alipokuwa akifun...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment