Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Nyerere.
Rais
wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere'
ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram.
Amedai kuna mpango mbaya dhidi yake hivyo akaona bora ajiengue pasipo
kufafanua zaidi.September 12, 2014
8:29 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Bad News: Nyota wa Rock and roll Chuck Berry amefariki Mmoja wa waanzilishi wa muziki aina ya rock and roll, Chuck Berry, amefariki akiwa na umri wa miaka 90 nyumbani kwake katika jimbo la Missouri, huko Marekani. Muimbaji na mchezaji gitaa huyo alifahamika kote dunian… Read More
Tanzania kupeleka madaktari Kenya Serikali ya Tanzania imekubali ombi la kuipatia Kenya madaktari 500 watakaoisaidia nchi hiyo kukabiliana na tatizo la uhaba wa madaktari katika vituo vyake vya tiba hasa baada ya kutokea kwa mgomo wa madak… Read More
Tundu Lissu ashinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata 88% ya kura Wakili msomi Mhe. Tundu Lissu ameshinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata kura 1,411 kati ya kura 1,682 zilizopigwa, sawa na ushindi wa 88% ya kura zote.Katika mawasiliano na Lissu amethibiti… Read More
Mauaji ya Kaweesi;Museven aagiza kufungwa kamera za usalama Uganda Raisi wa Uganda Yoweri Kaguta Museven amelaani mauaji ya Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda Andrew Kaweesi na walinzi wake wawili ambao walishambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana katika eneo la Kulambi… Read More
Brand New Video: Jay Moe - Nisaidie Kushare Mwanamuziki Jay Moe baada ya kutamba sana na wimbo wake wa Pesa ya Madafu, safari hii amekuja na wimbo unaitwa Nisaidie Ku Share. &nb… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment