Aliyekuwa Rais wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Nyerere.
Rais
wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere'
ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram.
Amedai kuna mpango mbaya dhidi yake hivyo akaona bora ajiengue pasipo
kufafanua zaidi.
MRADI WA WLER WAIBUA FURSA ZA KIUCHUMI KWA WANAWAKE NA WENYE ULEMAVU GONGO
LA MBOTO
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
WANAWAKE wa Kata ya Gongo la Mboto wamehamasishwa kushiriki katika nafasi
za uongozi na kujiimarisha kiuchumi kupitia...
5 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment