Kufuatia mabadiliko ya masafa mbalimbali ya radio za hapa nchi, sasa kwa wakazi wa Morogoro mnaipata Clouds Fm kupitia 88.7 FM badala ya ile ya mwanzo ya 88.5. Hii ni kutokana na mabadiliko yaliyofanywa na TCRA. Wakazi wa Tanga mnaipta kupitia 96.1 badala ya 96.0 Fm. Endelea kusikiliza Clouds Fm kwa masafa ya hapo ulipo.
MAMA JANETH MAGUFULI ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA
-
NA. MWANDISHI WETU - DAR EA SALAAM
Mke wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Mama
Janeth Magufuli ametembelea banda Jumuishi ...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment