Kufuatia mabadiliko ya masafa mbalimbali ya radio za hapa nchi, sasa kwa wakazi wa Morogoro mnaipata Clouds Fm kupitia 88.7 FM badala ya ile ya mwanzo ya 88.5. Hii ni kutokana na mabadiliko yaliyofanywa na TCRA. Wakazi wa Tanga mnaipta kupitia 96.1 badala ya 96.0 Fm. Endelea kusikiliza Clouds Fm kwa masafa ya hapo ulipo.
October 06, 2014
3:45 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Serikali Imewaomba Walioathirika na Tetemeko Kagera Wajijengee wenyewe Nyumba, Pesa za Misaada Zinapelekwa Taasisi za Serikali Kuna Video ambayo inasambaa mitandaoni (hususani Whatsapp) yenye inayosema Serikali imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kujijengea wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasis… Read More
Kurasa za Magazetini leo hii Jumapili ya 13 November Habari mpenzi msimaji. Karibu katika kurasa za magazetini leo hii Jumapili ya 13 November 2016. Tumekukusanyia vichwa vya habari za mbele na za nyumba katika kurasa za magazetini leo hii. Kwa habari za… Read More
Azam FC yampa mkataba wa miaka 3 kiungo Agyei kutoka Ghana Klabu Bingwa ya Azam FC, unayofuraha kuwaataarifu wapenzi wa soka kuwa umefanikiwa kuingia mkataba wa miaka mitatu na kiungo mshambuliaji kutoka Ghana, Enock Atta Agyei. Agosti mwaka huu, Azam FC tuliingi… Read More
Live show: Millennium Stage - Jagwa Music From the streets of Dar es Salaam, Tanzania, Jagwa Music brings on a high-powered celebration with the interlocking rumble of drums, hacked mini casio keyboards, and hotwired megaphones grounding spitfire v… Read More
Mshindi wa supa Nyota Medy Botion Avunja ukimya, Mshindi wa Fiesta Supa Nyota 2016 mkoa wa Morogoro Medy Botion, ameamua kuvunja ukimya juu ya tabia inayofanywa na baadhi ya wasanii hapa nchini na wadau hapa nchini. Katika ukurasa wake wa Facebook Botion ana… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment