Kufuatia mabadiliko ya masafa mbalimbali ya radio za hapa nchi, sasa kwa wakazi wa Morogoro mnaipata Clouds Fm kupitia 88.7 FM badala ya ile ya mwanzo ya 88.5. Hii ni kutokana na mabadiliko yaliyofanywa na TCRA. Wakazi wa Tanga mnaipta kupitia 96.1 badala ya 96.0 Fm. Endelea kusikiliza Clouds Fm kwa masafa ya hapo ulipo.
TUFUATE TARATIBU ILI KUDUMISHA AMANI YETU- MALECHA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Khalid Malecha, Mkazi wa Kitonga Jijini Dar Es Salaam, ameeleza kuwa maelfu
ya wananchi waliathirika moja kwa moja na ghasia na m...
1 hour ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment