October 23, 2014


 
Msanii kutoka kundi la TMK Wanaume,Mh.Temba na na mlezi wa kundi hilo Said fela wamejitolea kumsomesha kwa miaka saba mtoto wa aliyekuwa msanii wa Bongo Flava kutoka kundi hilo aliyefariki usiku wa kuamkia juzi na kuzikwa jana katika makaburi ya chang’ombe, marehemu Yesaya 



 
Marehemu ameacha mtoto mmoja wa kiume anayeitwa Ambilikile, Fella amesema kuwa atahakikisha mtoto huyo anapata elimu kwani ndiyo msingi mkuu wa maisha ya mwanadamu. Mh. Temba pia amefunguka kuwa milango iko wazi kwa mtu yeyote ambaye yupo tayari kujitolea kumsaidia mtoto huyo

Related Posts:

  • Stars, Nigeria hakuna mbabeBeki wa Nigeria, William Ekong akibinuka tik tak dhidi ya mshambuliaji wa Tanzania, John Bocco katika mchezo wa leo Mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta akimhadaa beki wa Nigeria, Solomon Kwambe   Mshambuliaji w… Read More
  • Lowassa aiteka Tabora  Aliekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mngeja akiuhutubia Umati wa wakazi wa Mji wa Tabora, waliofutirika kwa wingi kwenye Uwanja wa Town School, kulikofantika Mkutano wa Kampeni za kunadi sera za Mgombe… Read More
  • Kingwendu anusurika ajalini King Sapeto akiwa na,Kingwend  Mwigizaji maarufu, Kingwendu amenusurika kifo baada ya ajali mbaya ya gari iliyotokea leo Wilayani Kisarawe.Kingwendu amekumbana na ajali hiyo akiwa katika kampeni zake za kuwania ubu… Read More
  • Kubenea asema "Dk. Slaa... uvumivu umenishindaSaed KubeneaKatika taarifa yake kwa Mwanahalisi Online, Saed Kubenea, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd (HHPL) wachapishaji gazeti la MwanaHALISI, (ambaye amechimba kwa undani sakata la Richmon… Read More
  • Msimamo wa Juma Nature kwenye headlines za Uchaguzi 2015…… Wakati siasa ikiendelea kuchukua Headline na baadhi ya mastaa wakionesha hisia zao na mapenzi yao kwa watu ambao ni wagombea kwa vyama mbali mbali, leo Msanii wa bo… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE