October 28, 2014

Wiz & Vicky
Taarifa zilizoenea mitandao mbali mbali ya Nigeria saa chache zilizopita zinazungumzia tukio kutoka Kenya linalohusiana na kukamatwa kwa msanii wa Nigeria Wizkid ambaye alishikiliwa na na jeshi la Polisi nchini humo saa chache kabla ya kupanda ndege kurejea Nigeria.

Taarifa iliyoandikwa na Standard Digital Kenya imesema, Wizkid alikamatwa hotelini Nairobi Crown Plaza ambapo amekaa kwa takribani wiki moja baada ya kufanya onesho lake.

Kwa mujibu wa habari kutoka chanzo hicho, Wizkid alikamatwa kwa kosa la kuvuta bangi hotelini hapo na baada ya mzozo wa muda mrefu baina yake na mhudumu wa hoteli hiyo, mhudumu wa hoteli alitoa taarifa polisi ambao walimkamata na kumfikisha kituo cha Capital Hill ambapo alipigwa faini ya sh. 50,000 za Kenya kwa kosa hilo na baadaye kuachiwa huru.

Wizkid alikamatwa hotelini hapo siku ya jumamosi kwa kosa hilo, ambapo Victoria Kimani, msanii wa Kenya ambaye wamefanya kolabo hivi karibuni ametajwa kuhusika kumtoa Wizkid kutoka kituo cha Polisi.

ENDELEA KUPAKUA WIMBO WA MWANA FA ft ALLY KIBA HAPA

Related Posts:

  • Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi   Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991. Msh… Read More
  • Jicho letu October:Kwa nini Nyerere hana mrithi wa urais CCM ?   Ikiwa Tanzania inaeleke akatika tukio kubwa la ktaifa  Uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais, OCTOBER 2015. Hapa tunazidi kuwaletea Taarifa mbalimbali zinazohusiana na Uchaguzi mkuu.  Leo hii tuna… Read More
  • Wapinzani waipasua Serikali  Mwenyekiti wa maofisa watendaji wakuu wa makampuni, Ali Mufuruki (Kushoto) akiangalia kitabu cha Azimio la Tabora alilokabidhiwa na kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe (wa pili kushoto) baada ya kum… Read More
  • Idadi ya wasanii waliotangaza kugombea Ubunge 2015 hii hapa Muigizaji Wema Sepetu ametangaza kuwania Ubunge wa viti maalum Singida Wasanii wa filamu na muziki wameamua kujitokeza kuwania nafasi za ubunge katika maeneo mbalimbali nchini katika uchaguzi wa 2015. Mpaka sasa… Read More
  • Nuh Mziwanda atimua kwa Shilole Mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani umemfanya msanii wa Bongo Fleva,Nuh Mziwanda kuondoka nyumbani kwa mpenzi ambaye ni msanii,Shilole ili kumpisha mpenzi wake afunge kwani hawajafunga ndoa. Shilole ameyazungumza hay… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE