Ni siku chache tu zimepita toka achukue headlines na video aliyoifanya
South Africa chini ya Director Adam Juma, sasa hivi anaingia kwenye
headlines nyingine na hii video yake mpya ambayo yuko location
kuitengeneza sasa hivi na Director ni yuleyule Adam Juma.
WAKATI BAR INAGEUKA KUWA MTEGO:HADITHI YA WANAUME, POMBE NA MAPENZI
YANAYOVUNJA NDOA
-
Imeandaliwa na Dotto Kwilasa.
Katika kila kona ya jiji la Dodoma, vipo viti vya plastiki, meza za chuma
na chupa zinazo tiririsha jasho la baridi na Mzi...
24 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment