December 03, 2014

 Joseph Nyuki
  Mwanam,uziki wa nyimbo za Injiri toka Dar es Salaam Joseph Nyuki, amepiga saluti katika mitaa mbalimbali ya Manispaa ya Morogoro akisambaza albam yake ya PIGA SALUTI.

  Akiwa na tim yake katika safari hiyo Nyuki amewataka wakazi wa Morogoro kununua nakala halisi na kuacha tabia ya kununua nakala zilizochakachuliwa kwa ajili ya ubora na maslahi kwa wasanii. 
 Mmoja ya timu ya Nyuki akiuza CD za Msanii huyo huku akiwa na kundi la watu
 Kwa upande wao wakazi wa Morogoro wamesema ni vyema wasanii na wadau kwa jumla wakihakikisha haki za wasanii zinasimamiwa vilivyo kwani maisha ya wasanii wengi yamekuwa tofauti na sifa zao
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE