
Anaitwa Amini Mwinyimkuu, wengi tulizoea kumwita Amini wa THT, Tumwitaje baad ya kubadilisha menejimenti? Unaifahamu menejimenti yake ya sasa baada ya kutoka THT? je! ni kweli alifukuzwa THT? haya yote yapo hapa akifunguka yote na Baba Mzazi Dijaro Arungu ndani ya TBC.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment