January 07, 2015

 
 Hapa akiwa ndani ya Clouds Medi leo hii 
Umekuwa ni Utaratibu wangu Kila ninapoadhimisha tarehe ya Kuzaliwa,Hutumia siku hiyo kutembelea Hospitali au Watoto Yatima.Hii leo ikiwa ni siku yangu ya Kuzaliwa(Miaka 40),Nimetembelea Hospitali ya Mwananyamala-Wodi ya wazazi(Watoto) kuwasalimia,Nimetembelea Kituo cha Watoto Yatima cha CHAKUWAMA kuwasalimia,Pia nimechangia Damu kwaajili ya Kusaidia ndugu zetu.Ahsanteni sana

                      


 
 Hapa akimfariji mama aliyelazwa na mtoto
  

 


 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE