January 14, 2015

 

Leo mapema katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm,mwana mitindo wa kimataifa Flaviana Matata ameamua kuungana na wa Tanzania ili kusaidia kuinua sekta  ya elimu nchini kupitia kampeni yake ya MATATA FOUNDATION anayo isimamia..Takribani miaka kadhaa sasa tangu aianzishe kampeni hiyo kwa dhamiara kubwa kabisa...
Kampeni hiyo ya Flaviana Matata Foundation ameanzishwa lengo kuu ni kukuza elimu ya wa Tanzania kwa kuchangia vifaa mbali mbali vya elimu ikiwemo madaftari,kalamu, madawati pamoja na nyenzo zote zitakzo mnyanyua mwanafunzi kutoka sehemu duni aliyopo.

Baada ya kuhojiwa juu ya harakati zake alisema watanzania tukisimama kwa pamoja tunaweza kwa kuhakikisha suala zima la elimu linakua kwa kasi kwa kuondokana na vikwazo wanavyo kumbana navyo wanafunzi hao.Pia katika zunguka yake za uchangiaji katika suala zima la elimu alikutana na shule iliyopo wilaya ya BAGAMOYO amabayo  ki mazingira haipo slama kabisa,

Shule hiyo ya msingi MSINUNE  ipo katika manddhali mbaya amabyo kwa mwanafunzi si pazuri kwa kusomea.Ukianza na nyumba za walimu ni chache,mbovu na hazifai kuishi kwa binaadam wa kawaida,vilevile sehemu za kujisaidia ni mbovu kupindukia kiasi cha kwamba wanafunzi na walimu wamekua wakijisaidia nje ya vyoo vyao hali ambayo si nzuri ki afya

Pia katika suala la nyumba za walimu zimekua ni chache kiasi ambacho wamekua wakichangia chumba kimoja wanalala walimu watatu.
Haiku ishia hapo tu,pia aliomba kuungana na wa Tanzania kushirikiana na Team nzima ya XXL kwa kushirikiana kuchangia ili kuinua shule ya msingii MSINUNE kwa kiwango chochotekufikia mpaka July Vyoo na nyumba za walimu ziwe zime nyanyuka.

Related Posts:

  • Stamina na Fiq Q ndani ya ngoma hii mpya kabisa.    Hii ni kazi nyingine kabisa toka kwa mkali wa Hip Hop Tanzania Stamina Kabwela, hapa kamshirikisha mkali wa Hip Hop toka Mwanza Fid Q, wanakwambia Like Father like Son. Audio ya wimbo huu imefanywa kwa umahil… Read More
  • England kuandaa kombe la dunia  Sepp Blatter Rais wa FIFA England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026 baada ya kujaribu bahati hiyo ilii iandae fainali hizo mwaka 2018 lakini ilijikut… Read More
  • Mwandishi wa habari ashtakiwaMwandishi mmoja wa habari mashuhuri ambaye pia ni mkereketwa wa haki za kibinadamu amefikishwa mahakamani nchini Angola kwa mada Mwandishi mmoja wa habari mashuhuri ambaye pia ni mkereketwa wa haki za kibinadamu amefikishwa m… Read More
  • Nay wa Mitego achukua maamuzi magumu kuhusu mtoto Nay wa Mitego na Mtoto wakeNay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa aliyekuwa  Mpenzi wake wa zamani Obasanjo...Japo Wahen… Read More
  • Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini UfaransaNdege ya shirika la ndege la Germanwings Ndege ya abiria inayomilikiwa na shirika la ndege la Germanwing Airbus A320 Imeanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa. Ndege hiyo ilikuwa imewabeba abiria 142 na wahudumu 6 ikito… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE