Katika harakati za kupambana na ukatili wa kijinsia hususan
ukeketaji wa wanawake nchini Tanzania,zaidi ya mabinti 16 waliotoroka
makwao baada ya kuon akil adalili ya kutaka kukeketwa na jamii
zao,wazungumza na rfikiswahili wakiwa Tarime mkoani Mara,wakati huu
shule zikifunguliwa.
TAWA YAKABIDHI BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI MCHENGERWA, RUFIJI
-
Na Beatus Maganja, Rufiji, Pwani.
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imekabidhi rasmi bweni
jipya la wasichana katika Shule ya Sekondari...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment