Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za 16 za Vodafone
Ghana Music (Awards), VGMA 2015. Majina ya wasanii watakaowania tuzo
hizo yametajwa kwenye hoteli ya La Palm Royal Beach Hotel jijini Accra,
jana Ijumaa, February 27. Diamond ametajwa kuwania kipengele cha msanii
bora wa Afrika (African Artiste of The Year). Wasanii wengine
watakaowania kipengele hicho ni Soma zaidihapa
Zitto Kabwe atangaza kujiuzulu ubunge kwa sharti hili
Kufuatia sintofahamu ya uwepo wa janga la njaa nchini au lah! huku mvutano wa jambo hilo ukiendelea kuwa mjadala mkubwa nchini kwa sasa, Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe ametoa sharti la kujiuzuku endapo S…Read More
Mapya yaibuka kuhusu maiti kukutwa nyumbani baada ya kuzikwa
Wakazi wa Isanga Jijini Mbeya wamekumbwa na taharuki baada ya tukio lisilo la kawaida ambapo maiti iliyokwenda kuzikwa katika makaburi ya zamani ya Isanga ilikutwa ikiwa kwenye godoro ndani ya nyumba alimofia.Hatua…Read More
Brand New Video: Kimjini Mjini - Bio $ Issa E
Unawakumbuka Bio na Issa E? walitamba sana na wimbo wa Analalamika, Lakini hawakusimama, wakaja na wimbo wa BIBI, ulifanya poa sana nao, wakapotea kwenye game, baada ya Kimya cha muda nrefu sana, sasa wasanii haw…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment