Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake. Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali kufanyiwa vipimo vilionyesha hakupata majeraha kwa ndani. ‘’Nashukuru Mungu nilipimwa hospitali vipimo vilionyesha sikupata madhara yoyote kwa ndani kwani nilikuwa na wasiwasi labda niliumia kwa ndani,’alisema Keisha.
March 30, 2015
2:31 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
KIFO CHA MADINDA, CHAMZUIA RAY C KUSAMBAZA WIMBO WAKE MPYA STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’ ameahirisha kuisambaza ngoma ya… Read More
DIAMOND PLATNUMZ AZIDI KUKIMBIZA, AKWAA TUZO NYINGINE … Read More
VAN VICKER ASHANGAZWA NA HABARI KUHUSU WEMA Mwigizaji na mwongozaji wa filamu wa nchini Ghana, Van Vicker ameshangazwa na vyombo vya habari za udaku za hapa Bongo, kwa kile ambacho kimelipotiwa kuhusu yeye na muigizaji Wema Sepetu. Kwenye blogs na magazeti … Read More
JUMAPILI HII NDANI YA MAISHA CLUB KUNA HILI KUBWA ZAIDI guys we doing the countdown now leo ni alhamisi na nachukua fursa hii hapa just to say Thanks to My creative team from My Company Divas Wild Events coz we gonna have The Best Event in town itayo take pla… Read More
VIDEO/ MWANA - ALLY KIBA TAZAMA KIPANDE HAPA Video ya mwana ya ALLY KIBA inatarajiwa kutoka hapo siku ya kesho. Lakini hapa tunakupa fursa ya kuitazama japo kipande cha Video hiyo iliyofanyika katika ubora wa hali ya juu Tazama hapa chini … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment