Takriban watoto 80 waliookolewa katika kambi ya kundi la Boko Haram nchini Cameroon hawawezi kukumbuka majina yao kulingana na afisa mmoja aliyewatembelea. Watoto hao wenye umri wa miaka 5 hadi 18 hawakuzungumza kiingereza,kifaransa ama lugha nyengine yeyote ile kulingana na Christopher Fomunyoh,ambaye ni mkurugenzi wa kitaifa wa taasisi ya National Democratic Institute {NDI}. Watoto hao walipatikana katika kambi kazkazini mwa Cameroon mnamo mwezi Novemba. Kundi la Boko Haram kutoka Nigeria limepanua mashambulizi yake hadi nchini Cameroon. Wapiganaji hao wanajaribu kusimamisha taifa lenye uongozi wa kiislamu kazkazini mashariki mwa Nigeria. Wanadhibiti miji kadhaa na vijiji katika jimbo hilo na hivi majuzi waliahidi kuiga mfano wa kundi la Islamic State ambalo limeteka eneo kubwa la Syria na Iraq
March 11, 2015
10:09 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Brand New Audio | Nipe Tamu - Every Day Mwanamuziki chipukizi kabisa kutoka mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina la Every Day, amekuletea bonge ya wimbo wake unaoitwa Nipe Tamu. Wimbo umefanywa na Producer Sniper katika studio za Tushi Recordz za… Read More
Pitio la magazeti leo hii jumatano January 20, 2016Karibu upitie vichwa vya habari vya magazetini leo jumatano January 20, 2016 kama yalivyotufikia.Ukitaka kusoma habari zaidi fika katika meza za magazeti ujipatie nakala yako Share na mwenzio … Read More
New Video | Nalia - H- Kubwa H-Kubwa anakukaribisha katika video yake mpya inayotwa Nalia. Hapa amemshirikisha mwana dada Elumai … Read More
Criss wamarya amerudi na Madee wakikwambia Pepea Mwanamuziki wa muziki wa Kizazi kipya toka mkoani Morogoro Criss wamarya, baada ya kutamba na nyimbo zake za kilomita sita, sinyorita, tutoke na Cheusi mangala na hatimaye akakaa kimya kwa muda, amekuja tena na wimbo wak… Read More
Ashtakiwa kwa kusambaza picha whatsapp Miili ya kwanza ya wanajeshi waliouawa Somalia iliwasili Nairobi Jumatatu Mwanamume mmoja nchini Kenya ameshtakiwa kusambaza picha alizodai ni za wanajeshi wa Kenya waliouawa … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment