Takriban watoto 80 waliookolewa katika kambi ya kundi la Boko Haram nchini Cameroon hawawezi kukumbuka majina yao kulingana na afisa mmoja aliyewatembelea. Watoto hao wenye umri wa miaka 5 hadi 18 hawakuzungumza kiingereza,kifaransa ama lugha nyengine yeyote ile kulingana na Christopher Fomunyoh,ambaye ni mkurugenzi wa kitaifa wa taasisi ya National Democratic Institute {NDI}. Watoto hao walipatikana katika kambi kazkazini mwa Cameroon mnamo mwezi Novemba. Kundi la Boko Haram kutoka Nigeria limepanua mashambulizi yake hadi nchini Cameroon. Wapiganaji hao wanajaribu kusimamisha taifa lenye uongozi wa kiislamu kazkazini mashariki mwa Nigeria. Wanadhibiti miji kadhaa na vijiji katika jimbo hilo na hivi majuzi waliahidi kuiga mfano wa kundi la Islamic State ambalo limeteka eneo kubwa la Syria na Iraq
March 11, 2015
10:09 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Haji S Manara auingia mziki wa TFF, yamemkuta haya. Mbwembwe za Haji Manara zimeanza kumponza. Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi, imempa onyo kali Mkuu huyo wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba kwa kosa la kuingia uwanjani. Kiongozi huyo alifanya kos… Read More
Video: Stamina afunga ndoa Morogoro Mwanamuziki wa muziki wa Hip Hop kutoka mkoani Morogoro Stamina leo hii amefunga pingu zamaisha katika kanisa la Mtakatifu Patriki lililopo mkoani hapa. … Read More
ziara ya Magufuli Morogoro, Mwanafunzi ajitosa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alipokua akiendelea na ziara yake mkoani Morogoro akielekea Kilombero amezungumza na wananchi wa kijiji cha Mang’ula ambapo alisimama na kuzungumza na w… Read More
Live: PM Katika Uzinduzi wa Daraja la Kilombero RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Mei 5, 2018 amezindua Rasmi Darala la Magufuli lililopo Kilombero mkoani humo. Katika hafla ya uzinduzi huo, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na ma… Read More
Good News: Ibrahim Ajib apata mtoto Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kuwa familia ya Mshambuliaji wake, Ibrahim Ajibu, imejaaliwa kupata mtoto wa kike. Ajibu alishindwa kusafiri na kikosi cha Yanga kuelekea Algiers, Algeria kwa ajili ya mechi y… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment